Maandamano ya Zafa kuadhimisha kwa Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) Viwanja vya Mnazi mmoja.

Maandamano ya kuadhilishi Siku aliyozaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) wakipita katika barabara ya michezani kuelekea katika viwanja vya mnazi mmoja kusherehekea kwa kuzaliwac Mtume, Maandamano hayo ya Zafa yameazia katika Mskiti Mkuu wa Ijumaa Muembesauri Unguja na kumalizikiav katika viwanja vya mnazimmoja nas kupokelewa na Jaji Mkuu wa Zanzibar Shekh. Omar Othman Makungu.
Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakiwa katika maandamano ya Zafa kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad(S.A.W) Wakipita katika mitaa ya michezani na kuelekea katika viwanja vya mnazimmoja.
Wazazi wakiwa na Watoto wao katika maandamano ya kuadhimishi siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad.
Maandamano ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume yaliowashirikisha Wanavyuoni mbalimbali vilioko Unguja wakiwa katika maandamano hayo.kuelekea mnazimmoja kuadhimisha siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W)
Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiwa katika maandamano ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) 

Wanafunzi wa Madrasa wakisherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammad kwa Dufu wakiwa katika maandamano wakielekea katika viwanja vya mnazimmoja Unguja. kuadhimisha siku hiyo tukufu.
Wanafunzi wa Madrasa mbalimbali wakishiriki katika maandamano ya Zafa ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtumu (S.A.W) katika viwanja vya mnazi mmoja Unguja.
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Shekh, Omar Othman Makungu akipokea maandamano maalum ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume Muhammada(S.A.W), katika viwanja vya mnazi mmoja Zanzibar.





Waumini wa Dini ya Kiislamu Zanzibar wakisherehekea Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kwa maandamano yalioazia Masjid Mushawar Muembeshauri Zanzibar na kumalizikia katika viwanja vya Mnazi Mmoja na kupokelewa na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu.
Next PostNewer Post Previous PostOlder Post Home

0 comments:

Post a Comment