WAZIRI wa Miundombinu na Mawasiliano
Zanzibar, Mhe: Juma Duni Haji akiondoa kitambaa kuashiria kufungua kituo kipya
cha kununulia karafuu, kilichopo Kilindi wilaya ya Chake Chake Pemba,
kilichojengwa na ZSTC, ikiwa ni shamra shamra ya kutimia miaka 51 ya mapinduzi
Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
KIKUNDI cha burudani cha Mkota ngoma cha
Mkoani Pemba, kikitumbuiza kwa ngoma ya kibati, kwenye ufunguzi wa kituo kipya
cha ununuzi wa karafuu shehia ya Kilindi wilaya ya Chake Chake Pemba, ikiwa ni
shamra shamra ya kutimia miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
WAZIRI wa Miundombinu na Mawasiliano
Zanzibar, Mhe: Juma Duni Haji, akizungumza na wananchi wa shehia ya Kilindi wilaya ya
Chake Chake Pemba, mara baada ya kukifungua kituo kipya cha kununulia karafuu,
kilichopo shehiani humo, ambacho kilijengwa na ZSTC, ikiwa ni shamra shamra ya
kutimia miaka 51 ya mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
0 comments:
Post a Comment