Ujenzi wa ukuta mpakani kuanza rasmi hii leo katika eneo la Kiunga.


somalissssss
Hatimaye shughli za ujenzi wa ukuta wa mpaka wa Kenya na Somali umeanzishwa rasmi hii leo katika eneo la Kiunga kaunti ya Lamu.

Ujenzi huo umeanzishwa rasmi na kushuhudiwa na kamishna mkuu wa lamu Fredrick Ndambuki.

Aidha Ndambuki amesema kuwa madhumuni ya ujenzi huo ni kulinda usalama na kuthibiti mashambulizi yanayo tekelezwa na kundi la wapiganaji la Al-shabaab.

Hatahivyo ameonyesha matumaini ya kuwepo amani na usalama katika taifa la Kenya.
Next PostNewer Post Previous PostOlder Post Home

0 comments:

Post a Comment