ZANZIBAR.
KAMPUNI `YA KIJANI YA AGRO LIMITED YENYE MAKAO MAKUU YAKE NCHINI ISRAEL IMEKUSUDIA KUANZISHA KILIMO CHA MAZAO YA MBATATA NA VANILLA KWA KUTUMIA MFUMO WA TEKNOLOJIA YA KISASA UTAKAOSHIRIKISHA VIJANA WAZALENDO HAPA NCHINI.
UONGOZI WA KAMPUNI HIYO PIA UMEJIPANGA KUTOA MAFUNZO MAALUM KWA VIJANA KATIKA SEKTA YA KILIMO KWA KUWAJENGEA UWEZO WA UZALISHAJI WA MAZAO TOFAUTI YATAKAYOWAPA FURSA YA AJIRA BADALA YA KUSUBIRI AJIRA YA SERIKALI.
MWAKILISHI WA KAMPUNI HIYO YA KIJANI AGRO LIMITED YENYE TAWI LAKE MJINI DAR ES SALAA NA MKOANI IRINGA BWANA RONEN ALMOG AMEELEZA HAYO WAKATI WA MAZUNGUMZO YAKE NA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI OFISINI KWAKE VUGA MJINI ZANZIBAR.
AMESEMA KUWA UONGOZI WAKE UTAJITAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUPITIA WIZARA YA KILIMO HUSUSAN KATIKA KUWAPATIA WAKULIMA TAALUMA YA KILIMO.
AMEELEZA KUWA KITUO MAALUM CHA MAFUNZO YA KILIMO KITAANZISHWA ILI KUWAPA FURSA KUBWA WAKULIMA NA KUJIFUNZA MBINU ZA KISASA ZA KILIMO KWA LENGO LA KUENDELEZA SEKTA HIYO KATIKA MFUMO WA KITEKNOLOJIA.
AKITOA SHUKRANI ZAKE MAKAMO WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AMESEMA KUWA KILIMO BADO KITAENDELEA KUWA SEKTA MAMA KWA UCHUMI WA ZANZIBAR AMBAPO KIMEKUWA KIKITOA AJIRA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70%.
BALOZI SEIF AMESEMA KUWA MBATATA NA VANILA NI MAZAO YANAYOHITAJIKA ZAIDI HAPA ZANZIBAR KUTOKANA NA ONGEZEKO KUBWA LA HOTELI ZA KITALII ZILIZOPO SEHEMU MBALI MBALI MIJINI NA VIJIJINI.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ALIUPONGEZA UONGOZI WA KAMPUNI HIYO KWA UAMUZI WAKE ILIYOCHUKUWA WA KUTAKA KUSAIDIA MIRADI MBALI MBALI YA KILIMO HAPA ZANZIBAR.
KAMPUNI `YA KIJANI YA AGRO LIMITED YENYE MAKAO MAKUU YAKE NCHINI ISRAEL IMEKUSUDIA KUANZISHA KILIMO CHA MAZAO YA MBATATA NA VANILLA KWA KUTUMIA MFUMO WA TEKNOLOJIA YA KISASA UTAKAOSHIRIKISHA VIJANA WAZALENDO HAPA NCHINI.
UONGOZI WA KAMPUNI HIYO PIA UMEJIPANGA KUTOA MAFUNZO MAALUM KWA VIJANA KATIKA SEKTA YA KILIMO KWA KUWAJENGEA UWEZO WA UZALISHAJI WA MAZAO TOFAUTI YATAKAYOWAPA FURSA YA AJIRA BADALA YA KUSUBIRI AJIRA YA SERIKALI.
MWAKILISHI WA KAMPUNI HIYO YA KIJANI AGRO LIMITED YENYE TAWI LAKE MJINI DAR ES SALAA NA MKOANI IRINGA BWANA RONEN ALMOG AMEELEZA HAYO WAKATI WA MAZUNGUMZO YAKE NA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI OFISINI KWAKE VUGA MJINI ZANZIBAR.
AMESEMA KUWA UONGOZI WAKE UTAJITAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUPITIA WIZARA YA KILIMO HUSUSAN KATIKA KUWAPATIA WAKULIMA TAALUMA YA KILIMO.
AMEELEZA KUWA KITUO MAALUM CHA MAFUNZO YA KILIMO KITAANZISHWA ILI KUWAPA FURSA KUBWA WAKULIMA NA KUJIFUNZA MBINU ZA KISASA ZA KILIMO KWA LENGO LA KUENDELEZA SEKTA HIYO KATIKA MFUMO WA KITEKNOLOJIA.
AKITOA SHUKRANI ZAKE MAKAMO WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AMESEMA KUWA KILIMO BADO KITAENDELEA KUWA SEKTA MAMA KWA UCHUMI WA ZANZIBAR AMBAPO KIMEKUWA KIKITOA AJIRA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 70%.
BALOZI SEIF AMESEMA KUWA MBATATA NA VANILA NI MAZAO YANAYOHITAJIKA ZAIDI HAPA ZANZIBAR KUTOKANA NA ONGEZEKO KUBWA LA HOTELI ZA KITALII ZILIZOPO SEHEMU MBALI MBALI MIJINI NA VIJIJINI.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ALIUPONGEZA UONGOZI WA KAMPUNI HIYO KWA UAMUZI WAKE ILIYOCHUKUWA WA KUTAKA KUSAIDIA MIRADI MBALI MBALI YA KILIMO HAPA ZANZIBAR.
0 comments:
Post a Comment